Alhamisi, Mei 23, 2013 Local time: 15:09

Uchaguzi mkuu Marekani: Bunge labaki vile vile

ukubwa wa habari - +
07.11.2012
Chama Republican kinaendelea kushikilia wingi katika baraza la wawakilishi wakati Wademokrat wana wingi katika baraza la Seneti. Zaidi

Rais Barack Obama ashinda uchaguzi Marekani

Vyomvo vya habari vya Marekani vinaashiria kwamba Rais Barack Obama atachaguliwa kwa awamu ya pili baada ya kushinda uchaguzi wa Jumanne.

Multimedia Wamarekani wapiga kura katika uchaguzi wenye ushindani mkubwa

Mamilioni ya wamarekani wanapiga kura katika uchaguzi muhimu wenye ushindani mkubwa kuwahi kutokea. Wapiga kura wengi wamekuwa wakisubiri kwa saa kadhaa kupiga kura zao.

Wamarekani kuhitimisha upigaji kura Jumanne.

Rais wa Marekani Barack Obama na mpinzani wake Mitt Romney siku ya jumatatu walifanya kampeni za dakika za mwisho kwa wapiga kura katika majimbo muhimu

sauti Obama, Romney wakamilisha kampeni zao

Kampeni ya zaidi ya mwaka mmoja kugombania kiti cha rais kwa miaka minne ijayo hapa Marekani inafika kikomo Jumatatu usiku.

Obama, Romney wayalenga majimbo yasiyoegemea upande wowote

Majimbo hayo yataelezea nani atapata kura za wajumbe 270 za wabunge waliohitajika kumuwezesha mgombea kuingia White House

Obama na Romney wachuana katika mdahalo wa mwisho.

Obama asema utawala wake umeonyesha uwezo kwa kuweka vikwazo vikali Iran.